Old school Easter eggs.


1
Platinum-credit

UTANGULIZI

Karibu kwenye tovoti yetu Platinum Credit Ltd Tanzania

Hii ni kampuni binafsi ya utoaji mikopo kwa njia ya mtandao (online) , Ofisi zetu zinapatikana Dar es salaam Faykat tower, Ali Hassan Mwinyi Road


Mikopo yetu hutolewa kwa njia ya mtandaoni (online) kupitia simu janja ya android (smartphone) na mkopaji atapokea pesa zake kwa njia za kielektroniki kama vile tigo-pesa, M-Pesa, airtel-money, Halo-pesa au akaunti za kibenki.


Platinum Credit Ltd Tanzania tunatoa mikopo ya fedha kuanzia laki tatu Hadi milioni tano kwa watanzania wote bila kubagua kazi unayofanya.


Ili uweze kupata mkopo wetu unatakiwa kuwa na kitambulisho chako pamoja na kiasi cha fedha ya akiba kisha utajaza FOMU ya kuomba mkopo .


Fomu ya kuomba mkopo inapatikana mwisho wa haya maelezo yetu katika ukurasa huu utaona kitufe cha kuingia kujaza fomu ya kuomba mkopo, utajaza fomu kisha utalipia fedha ya akiba na utatumiwa mkopo wako ndani ya dakika 5 tu.


Aina ya Vitambulisho vinavyokubalika ili uweze kupata mkopo ni kitambulisho cha NIDA , kitambulisho cha mpiga KURA , kitambulisho cha MZANZIBAR, leseni ya UDEREVA, leseni ya BIASHARA na paspoti ya KUSAFIRIA unaweza kutumia kimoja wapo kujaza fomu na kama hauna vyote Basi unatakiwa kutumia namba yako ya NIDA tu kujaza fomu.

IMG 20230609 155932
KWANINI ULIPE PESA YA AKIBA KABLA YA KUPATA MKOPO?

Ukiwa kama mkopaji unae hitaji mkopo unaweza kujiuliza kwanini ulipie pesa ya Ada/Akiba ya mkopo ikiwa wewe unahitaji mkopo? Hata hivyo sababu ni kama ifuatavyo..........


kwa kawaida taasisi zote za kifedha zinakua na utaratibu wa uwekaji Akiba au Dhamana hii inahusisha Ulinzi(security) ya mkopo na upatikanaji pesa ili taasisi kujiendesha yenyewe lakini pia kutambua utayari wa mkopaji kwani endapo tutakopesha bila kuwa na utaratibu maalumu wakopaji watakua wengi na wasio na utayari lakini tumeweka hicho kiwango kwa kuzingatia uchumi wa watu wa Aina zote kwa kuzingatia mkataba Baina ya pande zote mbili mkopeshaji na mkopeshwaji kuwa wenye tija kwani mwisho wasiku hii ni Biashara ndio maana tumeweka Riba katika mikopo yetu.


Utaratibu wetu sisi Platinum Credit Ltd Tanzania ni sharti la lazima kwa kila anaetaka mkopo baada ya kujaza fomu anatakiwa kulipia malipo ya akiba Kwa sababu zifuatazo.


1 : malipo haya huwa kama sehemu ya dhamana(security ya mkopo)


2: malipo haya uchagiza mzunguko mzuri wa pesa ndani ya taasisi kwani endapo mkopo utatoka bila kuwapo rejesho ndani ya Mwezi mmoja itapelekea upungufu wa pesa ndani ya mzunguko kwa kuzingatia kuwa yapo matumizi ya taasisi Kwa mwezi kama vile kulipia mishahara.

IMG 20230609 155826
RATIBA KATIKA MIKOPO YETU

Platinum Credit Ltd Tanzania tumeweka Riba ya asilimia Kumi kwenye mikopo yetu yote na riba hii ni kwa mkopo wote sio riba ya kila mwezi na riba hii inakatwa kwenye akiba yako baada ya kuwa umekamilisha kurejesha mkopo wako wote


Mfano unachukua mkopo Wa milioni moja , Riba ni asilimia 10 ya mkopo mzima hivyo riba ya milioni moja ni sawa sawa na kuchukua Tsh 1,000,000 gawa kwa 10 ambayo ni sawa na Tsh 100,000/= hivyo hivyo kwa mikopo yote kujua riba ya mkopo wako au mkopo unaohitaji unachukua mkopo unagawa kwa 10 .


Tunaposema RIBA nakatwa kwenye akiba tunamaanisha hivi, Mfano mkopo wa milioni moja Akiba yake ni Tsh 129,500 hivyo baada ya kumaliza kurejesha mkopo wako wote Tsh 100,000 ambayo ndio riba ya milioni moja itapunguzwa kwenye akiba yako na kiasi kinacho salia (Tsh 29,500) kinakua kama ulinzi wa akaunt yako na unaweza kukitoa hivyo hivyo kwa mikopo yote

1686347508705

AKIBA KWENYE KILA MKOPO NA REJESHO LA MKOPO KWA MWEZI


1 : Ukichukua mkopo wa laki tatu Tsh 300,000/=, Utatakiwa uweke Akiba Tsh 39,500/= na Utarejesha mkopo huu kwa muda wa miezi 6, kila mwezi utatakiwa kurejesha elfu hamsini Tsh 50,000/=.


2 : Ukichukua mkopo wa laki nne Tsh 400,000/=, Utatakiwa uweke Akiba Tsh 49,500/= na Utarejesha mkopo huu kwa muda wa miezi 8, kila mwezi utatakiwa kurejesha elfu hamsini Tsh 50,000/=.


3 : Ukichukua mkopo wa laki tano Tsh 500,000/=, Utatakiwa uweke Akiba Tsh 59,500/= na Utarejesha mkopo huu kwa muda wa miezi 10, kila mwezi utatakiwa kurejesha elfu hamsini Tsh 50,000/=.


4 : Ukichukua mkopo wa laki sita Tsh 600,000/=, Utatakiwa uweke Akiba Tsh 69,500/= na Utarejesha mkopo huu kwa muda wa miezi 12, kila mwezi utatakiwa kurejesha elfu hamsini Tsh 50,000/=.


5 : Ukichukua mkopo wa laki saba Tsh 700,000/=, Utatakiwa uweke Akiba Tsh 79,500/= na Utarejesha mkopo huu kwa muda wa miezi 14, kila mwezi utatakiwa kurejesha elfu hamsini Tsh 50,000/=.


6 : Ukichukua mkopo wa laki nane Tsh 800,000/=, Utatakiwa uweke Akiba Tsh 89,500/= na Utarejesha mkopo huu kwa muda wa miezi 16, kila mwezi utatakiwa kurejesha elfu hamsini Tsh 50,000/=.


7 : Ukichukua mkopo wa laki tisa Tsh 900,000/=, Utatakiwa uweke Akiba Tsh 99,500/= na Utarejesha mkopo huu kwa muda wa miezi 18, kila mwezi utatakiwa kurejesha elfu hamsini Tsh 50,000/=.


8 : Ukichukua mkopo wa milioni moja Tsh 1,000,000/=, Utatakiwa uweke Akiba Tsh 129,500/= na Utarejesha mkopo huu kwa muda wa miezi 20, kila mwezi utatakiwa kurejesha elfu hamsini Tsh 50,000/=.


9 : Ukichukua mkopo wa milioni mbili Tsh 2,000,000/=, Utatakiwa uweke Akiba Tsh 239,500/= na Utarejesha mkopo huu kwa muda wa miezi 20, kila mwezi utatakiwa kurejesha Laki moja Tsh 100,000/=.


10: Ukichukua mkopo wa milioni tatu Tsh 3,000,000/=, Utatakiwa uweke Akiba Tsh 349,500/= na Utarejesha mkopo huu kwa muda wa miezi 20, kila mwezi utatakiwa kurejesha Laki moja na elfu hamsini Tsh 150,000/=.


11 : Ukichukua mkopo wa milioni nne Tsh 4,000,000/=, Utatakiwa uweke Akiba Tsh 459,500/= na Utarejesha mkopo huu kwa muda wa miezi 20, kila mwezi utatakiwa kurejesha Laki mbili Tsh 200,000/=.


12 : Ukichukua mkopo wa milioni tano Tsh 5,000,000/=, Utatakiwa uweke Akiba Tsh 569,500/= na Utarejesha mkopo huu kwa muda wa miezi 20, kila mwezi utatakiwa kurejesha Laki mbili na elfu hamsini Tsh 250,000/=.